Hakimu
anayesikiliza Kesi ya Lwakatare (CHADEMA) katika mahakama ya Kisutu Mh.
Katemana yupo likizo kwa wiki mbili na hivyo Mahakama imeshindwa kutoa
dhamana kwa Lwaka
tare na kuipiga kalenda kesi hiyo mpaka Tarehe 27 Mei.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Post a Comment